TAARIFA KWA UMMA: Wito wa Kujiunga na JKT Mujibu wa Sheria (Kidato cha Sita) Mwaka 2026
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Nduku Mabele, anatoa wito kwa vijana wote waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha Sita kwa mwaka 2026 kutoka shule zote za Tanzania Bara na Visiwani kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa Kundi la Lazima (Mujibu wa She...